SIWEMA

 


Siwema ni msichana wa pekee katika familia ya mzee Kibonye toka kuzaliwa kwake siwema hajaijua shida alilelewa maisha ya kifahari sana ,Akiwa katika shule ya sekondari Nzenga kila mwanafunzi aliogopa kumsogelea kutokana na jinsi alivyojiweka ,Umbo na sura ya siwema ilikua ni kivutio kikubwa sana kwa wanaume ,kila alipokuwa akipita wanaume waligeuza macho kumuangalia jambo hili siwema alilijua fika na kwakutambua kuwa anasifika kwa uzuri ndipo alipoongeza mikogo na majivuno

Post a Comment

0 Comments